Clouds TV 🇹🇿
Clouds TV Official Instagram Account.
Follow us;
Twitter @cloudsmedialive
Facebook @cloudsfmradio
Tunakufungulia Dunia Kuwa Unachotaka

Clouds Media Group inamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kufanikisha hafla ya kwanza ya utoaji wa Tuzo za Malkia wa Nguvu 2026 jijini Dodoma.
Tunatoa shukrani za dhati kwa Serikali ya Tanzania kupitia Makamu wa Rais Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, washirika wa kibiashara, washindi pamoja na wananchi wote kwa ushirikiano wao mkubwa.
Kupitia jukwaa la Malkia wa Nguvu, Clouds Media Group itaendelea kuunga mkono juhudi za kuwawezesha wanawake nchini katika nyanja mbalimbali, kupanua wigo wa fikra na kuchochea mchango wao katika kukuza uchumi wa Taifa.
Dhamira yetu ni kuendelea kuthamini na kutambua wanawake wenye jitihada za kipekee katika biashara, ajira na jamii, wanaochangia mabadiliko chanya na maendeleo endelevu katika Taifa letu.
Jukwaa hili litaendelea kufika katika kanda zote nchini ili kuhakikisha wanawake wapambanaji wanatambuliwa, wanathaminiwa na kujengewa uwezo wa kuinuka zaidi kiuchumi na kijamii.
Kupitia fursa hii, wanawake watapata maarifa, msukumo na nafasi ya kujijenga katika fikra chanya kwa lengo la kufikia mafanikio makubwa zaidi.
MALKIA WA NGUVU 2026:
KOLEZA LEVELS.
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara Clouds Media Group madam Sheba Kusaga leo rasmi amebariki uzinduzi wa jukwaa kubwa ndani ya Clouds Media Malkia wa Nguvu ambalo huanza mwezi March kila mwaka.
“Katika msimu huu tunapoelekea kwenye uzinduzi wa Malkia wa Nguvu, Ofa zitakuwa nyingi na naamini kila tutakapoenda katika msimu huu Clouds itaendelea kuwa na mchango wa kuwezesha wanawake kutambulika, kutumia platform zetu katika kupeleka bidhaa zao duniani na ninaamini mwaka huu tutakuwa na mambo mengi sana”
Malkia wa nguvu mwaka huu tunasheherekea miaka 10 ya kuleta mabadiliko na kumuinua mwanamke katika nyanja mbalimbali aweze ku-nyoosha.
Katika muendelezo wa operesheni dhidi ya dawa za kulevya, Jashi la Polisi mkoani Morogoro, limewakamata watu 100 kwa tuhumza za kujihusisha na matukio ya dawa hizo.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro ACP Andrew Kantimbo, akizungumza katika mkutano wa Waandishi wa Habari mkoani humo, amesema watu 99 wamekamatwa kwa kujihusisha na utumiaji na usafirishaji wa bangi, ambapo walikamatwa wakiwa na Kilograms 118 na gramm 900 za bhangi na bunda 83 za mirungi.
Amema katika operesheni hiyo, Mtu mmoja alikamatwa akiwa anasafirisha virobaviwili vya bhangi vyenye uzito wa Kg 35 kwenye gari aina ya Nissan Patrol yenye namba za usajili DFP 6511.
Katika tukio jingine, Jeshi la Polisi limewakamata watuhumiwa watatu kwa tuhuma za kupatikana na nyara za serikali bila kibali, ambapo wamekutwa na vipande 34 vya nyama za swala na Nyati, huku watu wengine 39 wakikamatwa kwa tuhuma za kuuza pombe aina ya gongo kwenye vilabu bubuvya pombe pembezoni mwa Mji Manispaa ya Morogoro.
#Cloudsdigitalupdates
#Morogoro
“Tusichukue vitendea kazi vya wananchi, kwani hizo ni ofisi za wenzetu. Kama pikipiki au gari limetumika katika uhalifu, au mauaji, au dawa za kulevya au ubakaji hapo tuna kila sababu ya kukamata hivyo vitu kama vidhibiti.” - Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba
Amesema hayo alipozungumza katika mkutano wa hadhara na wananchi wa Mnenia, Kondoa mkoani Dodoma

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kupitia kwa Katibu wa (NEC) Itikadi,uenezi na mafunzo (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi, amewataka wananchi wa Tarime Mkoani Mara kuendelea kuishi katika misingi iliyo asisiwa na baba wa Taifa hayati Mwalimu Julius Nyerere kwa kuzingatia misingi ya utu, Mshikamano,Umoja bila kujali dini na ukabila Ili kuongeza chachu ya maendeleo kuanzia ngazi ya familia.
Ni katika mkutano wa hadhara wa chama hicho katika kata ya Nyamwaga Jimbo la Tarime vijijini Mkoani Mara ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa ziara ya kukagua uhai wa chama hicho,ukaguzi wa miradi ya maendeleo pamoja na kusikiliza baadhi ya changamoto za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi kwa kutumia Wataalamu wa idara.
Na @Hababi_23
#CloudaDigitalUpdates

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kupitia kwa Katibu wa (NEC) Itikadi,uenezi na mafunzo (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi, amewataka wananchi wa Tarime Mkoani Mara kuendelea kuishi katika misingi iliyo asisiwa na baba wa Taifa hayati Mwalimu Julius Nyerere kwa kuzingatia misingi ya utu, Mshikamano,Umoja bila kujali dini na ukabila Ili kuongeza chachu ya maendeleo kuanzia ngazi ya familia.
Ni katika mkutano wa hadhara wa chama hicho katika kata ya Nyamwaga Jimbo la Tarime vijijini Mkoani Mara ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa ziara ya kukagua uhai wa chama hicho,ukaguzi wa miradi ya maendeleo pamoja na kusikiliza baadhi ya changamoto za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi kwa kutumia Wataalamu wa idara.
Na @Hababi_23
#CloudaDigitalUpdates

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kupitia kwa Katibu wa (NEC) Itikadi,uenezi na mafunzo (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi, amewataka wananchi wa Tarime Mkoani Mara kuendelea kuishi katika misingi iliyo asisiwa na baba wa Taifa hayati Mwalimu Julius Nyerere kwa kuzingatia misingi ya utu, Mshikamano,Umoja bila kujali dini na ukabila Ili kuongeza chachu ya maendeleo kuanzia ngazi ya familia.
Ni katika mkutano wa hadhara wa chama hicho katika kata ya Nyamwaga Jimbo la Tarime vijijini Mkoani Mara ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa ziara ya kukagua uhai wa chama hicho,ukaguzi wa miradi ya maendeleo pamoja na kusikiliza baadhi ya changamoto za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi kwa kutumia Wataalamu wa idara.
Na @Hababi_23
#CloudaDigitalUpdates

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kupitia kwa Katibu wa (NEC) Itikadi,uenezi na mafunzo (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi, amewataka wananchi wa Tarime Mkoani Mara kuendelea kuishi katika misingi iliyo asisiwa na baba wa Taifa hayati Mwalimu Julius Nyerere kwa kuzingatia misingi ya utu, Mshikamano,Umoja bila kujali dini na ukabila Ili kuongeza chachu ya maendeleo kuanzia ngazi ya familia.
Ni katika mkutano wa hadhara wa chama hicho katika kata ya Nyamwaga Jimbo la Tarime vijijini Mkoani Mara ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa ziara ya kukagua uhai wa chama hicho,ukaguzi wa miradi ya maendeleo pamoja na kusikiliza baadhi ya changamoto za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi kwa kutumia Wataalamu wa idara.
Na @Hababi_23
#CloudaDigitalUpdates

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kupitia kwa Katibu wa (NEC) Itikadi,uenezi na mafunzo (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi, amewataka wananchi wa Tarime Mkoani Mara kuendelea kuishi katika misingi iliyo asisiwa na baba wa Taifa hayati Mwalimu Julius Nyerere kwa kuzingatia misingi ya utu, Mshikamano,Umoja bila kujali dini na ukabila Ili kuongeza chachu ya maendeleo kuanzia ngazi ya familia.
Ni katika mkutano wa hadhara wa chama hicho katika kata ya Nyamwaga Jimbo la Tarime vijijini Mkoani Mara ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa ziara ya kukagua uhai wa chama hicho,ukaguzi wa miradi ya maendeleo pamoja na kusikiliza baadhi ya changamoto za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi kwa kutumia Wataalamu wa idara.
Na @Hababi_23
#CloudaDigitalUpdates

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kupitia kwa Katibu wa (NEC) Itikadi,uenezi na mafunzo (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi, amewataka wananchi wa Tarime Mkoani Mara kuendelea kuishi katika misingi iliyo asisiwa na baba wa Taifa hayati Mwalimu Julius Nyerere kwa kuzingatia misingi ya utu, Mshikamano,Umoja bila kujali dini na ukabila Ili kuongeza chachu ya maendeleo kuanzia ngazi ya familia.
Ni katika mkutano wa hadhara wa chama hicho katika kata ya Nyamwaga Jimbo la Tarime vijijini Mkoani Mara ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa ziara ya kukagua uhai wa chama hicho,ukaguzi wa miradi ya maendeleo pamoja na kusikiliza baadhi ya changamoto za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi kwa kutumia Wataalamu wa idara.
Na @Hababi_23
#CloudaDigitalUpdates

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ameongoza kikao maalum cha kupitia mapendekezo ya mpango wa kuzalisha umeme kwa kutumia teknolojia ya nyuklia ikiwa ni sehemu ya jitihada za Serikali kuongeza uzalishaji wa umeme nchini na kuhakikisha upatikanaji wa nishati ya uhakika kwa maendeleo ya Taifa.
Katika kikao hicho imeelezwa kuwa tayari hatua mbalimbali zimeanza kuchukuliwa ikiwemo kuandaa rasimu ya mpango wa nyuklia pamoja na kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomi (IAEA).
Mpango huo unatarajiwa kutekelezwa kwa kipindi cha miaka sita hadi saba kupitia awamu mbalimbali zitakazohusisha utayari wa nchi, maandalizi ya sheria na ujenzi wa miundombinu ya kuzalisha umeme kwa kutumia teknolojia ya nyuklia.
Kikao hicho kimefanyika leo Mei 16, 2026 katika Ofisi Ndogo za Wizara zilizopo jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anaheshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga, Mtendaji Mkuu wa TANESCO, Bw. Lazaro Twange pamoja na wataalamu wengine kutoka wizarani.
#CloudsDigitalUpdates

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ameongoza kikao maalum cha kupitia mapendekezo ya mpango wa kuzalisha umeme kwa kutumia teknolojia ya nyuklia ikiwa ni sehemu ya jitihada za Serikali kuongeza uzalishaji wa umeme nchini na kuhakikisha upatikanaji wa nishati ya uhakika kwa maendeleo ya Taifa.
Katika kikao hicho imeelezwa kuwa tayari hatua mbalimbali zimeanza kuchukuliwa ikiwemo kuandaa rasimu ya mpango wa nyuklia pamoja na kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomi (IAEA).
Mpango huo unatarajiwa kutekelezwa kwa kipindi cha miaka sita hadi saba kupitia awamu mbalimbali zitakazohusisha utayari wa nchi, maandalizi ya sheria na ujenzi wa miundombinu ya kuzalisha umeme kwa kutumia teknolojia ya nyuklia.
Kikao hicho kimefanyika leo Mei 16, 2026 katika Ofisi Ndogo za Wizara zilizopo jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anaheshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga, Mtendaji Mkuu wa TANESCO, Bw. Lazaro Twange pamoja na wataalamu wengine kutoka wizarani.
#CloudsDigitalUpdates

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ameongoza kikao maalum cha kupitia mapendekezo ya mpango wa kuzalisha umeme kwa kutumia teknolojia ya nyuklia ikiwa ni sehemu ya jitihada za Serikali kuongeza uzalishaji wa umeme nchini na kuhakikisha upatikanaji wa nishati ya uhakika kwa maendeleo ya Taifa.
Katika kikao hicho imeelezwa kuwa tayari hatua mbalimbali zimeanza kuchukuliwa ikiwemo kuandaa rasimu ya mpango wa nyuklia pamoja na kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomi (IAEA).
Mpango huo unatarajiwa kutekelezwa kwa kipindi cha miaka sita hadi saba kupitia awamu mbalimbali zitakazohusisha utayari wa nchi, maandalizi ya sheria na ujenzi wa miundombinu ya kuzalisha umeme kwa kutumia teknolojia ya nyuklia.
Kikao hicho kimefanyika leo Mei 16, 2026 katika Ofisi Ndogo za Wizara zilizopo jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anaheshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga, Mtendaji Mkuu wa TANESCO, Bw. Lazaro Twange pamoja na wataalamu wengine kutoka wizarani.
#CloudsDigitalUpdates

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ameongoza kikao maalum cha kupitia mapendekezo ya mpango wa kuzalisha umeme kwa kutumia teknolojia ya nyuklia ikiwa ni sehemu ya jitihada za Serikali kuongeza uzalishaji wa umeme nchini na kuhakikisha upatikanaji wa nishati ya uhakika kwa maendeleo ya Taifa.
Katika kikao hicho imeelezwa kuwa tayari hatua mbalimbali zimeanza kuchukuliwa ikiwemo kuandaa rasimu ya mpango wa nyuklia pamoja na kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomi (IAEA).
Mpango huo unatarajiwa kutekelezwa kwa kipindi cha miaka sita hadi saba kupitia awamu mbalimbali zitakazohusisha utayari wa nchi, maandalizi ya sheria na ujenzi wa miundombinu ya kuzalisha umeme kwa kutumia teknolojia ya nyuklia.
Kikao hicho kimefanyika leo Mei 16, 2026 katika Ofisi Ndogo za Wizara zilizopo jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anaheshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga, Mtendaji Mkuu wa TANESCO, Bw. Lazaro Twange pamoja na wataalamu wengine kutoka wizarani.
#CloudsDigitalUpdates

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ameongoza kikao maalum cha kupitia mapendekezo ya mpango wa kuzalisha umeme kwa kutumia teknolojia ya nyuklia ikiwa ni sehemu ya jitihada za Serikali kuongeza uzalishaji wa umeme nchini na kuhakikisha upatikanaji wa nishati ya uhakika kwa maendeleo ya Taifa.
Katika kikao hicho imeelezwa kuwa tayari hatua mbalimbali zimeanza kuchukuliwa ikiwemo kuandaa rasimu ya mpango wa nyuklia pamoja na kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomi (IAEA).
Mpango huo unatarajiwa kutekelezwa kwa kipindi cha miaka sita hadi saba kupitia awamu mbalimbali zitakazohusisha utayari wa nchi, maandalizi ya sheria na ujenzi wa miundombinu ya kuzalisha umeme kwa kutumia teknolojia ya nyuklia.
Kikao hicho kimefanyika leo Mei 16, 2026 katika Ofisi Ndogo za Wizara zilizopo jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anaheshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga, Mtendaji Mkuu wa TANESCO, Bw. Lazaro Twange pamoja na wataalamu wengine kutoka wizarani.
#CloudsDigitalUpdates

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ameongoza kikao maalum cha kupitia mapendekezo ya mpango wa kuzalisha umeme kwa kutumia teknolojia ya nyuklia ikiwa ni sehemu ya jitihada za Serikali kuongeza uzalishaji wa umeme nchini na kuhakikisha upatikanaji wa nishati ya uhakika kwa maendeleo ya Taifa.
Katika kikao hicho imeelezwa kuwa tayari hatua mbalimbali zimeanza kuchukuliwa ikiwemo kuandaa rasimu ya mpango wa nyuklia pamoja na kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomi (IAEA).
Mpango huo unatarajiwa kutekelezwa kwa kipindi cha miaka sita hadi saba kupitia awamu mbalimbali zitakazohusisha utayari wa nchi, maandalizi ya sheria na ujenzi wa miundombinu ya kuzalisha umeme kwa kutumia teknolojia ya nyuklia.
Kikao hicho kimefanyika leo Mei 16, 2026 katika Ofisi Ndogo za Wizara zilizopo jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anaheshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga, Mtendaji Mkuu wa TANESCO, Bw. Lazaro Twange pamoja na wataalamu wengine kutoka wizarani.
#CloudsDigitalUpdates

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ameongoza kikao maalum cha kupitia mapendekezo ya mpango wa kuzalisha umeme kwa kutumia teknolojia ya nyuklia ikiwa ni sehemu ya jitihada za Serikali kuongeza uzalishaji wa umeme nchini na kuhakikisha upatikanaji wa nishati ya uhakika kwa maendeleo ya Taifa.
Katika kikao hicho imeelezwa kuwa tayari hatua mbalimbali zimeanza kuchukuliwa ikiwemo kuandaa rasimu ya mpango wa nyuklia pamoja na kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomi (IAEA).
Mpango huo unatarajiwa kutekelezwa kwa kipindi cha miaka sita hadi saba kupitia awamu mbalimbali zitakazohusisha utayari wa nchi, maandalizi ya sheria na ujenzi wa miundombinu ya kuzalisha umeme kwa kutumia teknolojia ya nyuklia.
Kikao hicho kimefanyika leo Mei 16, 2026 katika Ofisi Ndogo za Wizara zilizopo jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anaheshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga, Mtendaji Mkuu wa TANESCO, Bw. Lazaro Twange pamoja na wataalamu wengine kutoka wizarani.
#CloudsDigitalUpdates

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ameongoza kikao maalum cha kupitia mapendekezo ya mpango wa kuzalisha umeme kwa kutumia teknolojia ya nyuklia ikiwa ni sehemu ya jitihada za Serikali kuongeza uzalishaji wa umeme nchini na kuhakikisha upatikanaji wa nishati ya uhakika kwa maendeleo ya Taifa.
Katika kikao hicho imeelezwa kuwa tayari hatua mbalimbali zimeanza kuchukuliwa ikiwemo kuandaa rasimu ya mpango wa nyuklia pamoja na kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomi (IAEA).
Mpango huo unatarajiwa kutekelezwa kwa kipindi cha miaka sita hadi saba kupitia awamu mbalimbali zitakazohusisha utayari wa nchi, maandalizi ya sheria na ujenzi wa miundombinu ya kuzalisha umeme kwa kutumia teknolojia ya nyuklia.
Kikao hicho kimefanyika leo Mei 16, 2026 katika Ofisi Ndogo za Wizara zilizopo jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anaheshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga, Mtendaji Mkuu wa TANESCO, Bw. Lazaro Twange pamoja na wataalamu wengine kutoka wizarani.
#CloudsDigitalUpdates

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ameongoza kikao maalum cha kupitia mapendekezo ya mpango wa kuzalisha umeme kwa kutumia teknolojia ya nyuklia ikiwa ni sehemu ya jitihada za Serikali kuongeza uzalishaji wa umeme nchini na kuhakikisha upatikanaji wa nishati ya uhakika kwa maendeleo ya Taifa.
Katika kikao hicho imeelezwa kuwa tayari hatua mbalimbali zimeanza kuchukuliwa ikiwemo kuandaa rasimu ya mpango wa nyuklia pamoja na kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomi (IAEA).
Mpango huo unatarajiwa kutekelezwa kwa kipindi cha miaka sita hadi saba kupitia awamu mbalimbali zitakazohusisha utayari wa nchi, maandalizi ya sheria na ujenzi wa miundombinu ya kuzalisha umeme kwa kutumia teknolojia ya nyuklia.
Kikao hicho kimefanyika leo Mei 16, 2026 katika Ofisi Ndogo za Wizara zilizopo jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anaheshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga, Mtendaji Mkuu wa TANESCO, Bw. Lazaro Twange pamoja na wataalamu wengine kutoka wizarani.
#CloudsDigitalUpdates

Waziri mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendelea kuwekeza kwa kiwango kikubwa katika sekta ya elimu kupitia ujenzi wa shule za amali na ufundi nchini kote ili kuwawezesha vijana kupata elimu yenye ujuzi na kujitegemea.
Amesema hayo leo Jumamosi, Mei 16, 2026 alipokuwa akikagua ujenzi wa Shule ya Ufundi ya Amali Kingale, Halmashauri ya Mji wa Kondoa mkoani Dodoma.
Waziri Mkuu amesema katika kipindi cha miaka minne hadi mitano, Serikali imejenga shule za amali 103 nchini kote ambapo shule 29 kati ya hizo ni za uhandisi, hatua ambayo amesema ni mapinduzi makubwa katika sekta ya elimu ya ufundi nchini.
“Tangu uhuru tulikuwa na shule tano tu za ufundi, lakini Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan katika miaka yake minne hadi mitano amejenga shule 103 za amali, ishirini na tisa zikiwa za uhandisi. Hili ni jambo kubwa sana,” amesema.
Aidha, Waziri Mkuu amesema Serikali iliamua kujenga shule hizo kwa nchi nzima kwa wakati mmoja ili kila mkoa unufaike na fursa hiyo ya elimu ya ufundi.
“Alisema kila mkoa upate awamu ya kwanza na watoto waanze kusoma, na baada ya hapo itakuja awamu ya pili ya kumalizia,” amesema.
Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amesema Serikali imeendelea kuajiri walimu wa sekta za elimu na afya ambapo ndani ya siku 100 pekee walimu 7,000 waliajiriwa wengi wao wakiwa wa masomo ya sayansi.
Pia, Waziri Mkuu amewahimiza wanafunzi kusoma kwa bidii ili waweze kunufaika na mpango wa Samia Scholarship unaowawezesha wanafunzi wanaofanya vizuri kupata ufadhili wa masomo ndani na nje ya nchi.
“Ukifanya vizuri sana unapewa Samia Scholarship, huo sio mkopo unapewa fedha ya ufadhili wa kusoma na unachagua chuo chochote duniani,” amesema.

Waziri mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendelea kuwekeza kwa kiwango kikubwa katika sekta ya elimu kupitia ujenzi wa shule za amali na ufundi nchini kote ili kuwawezesha vijana kupata elimu yenye ujuzi na kujitegemea.
Amesema hayo leo Jumamosi, Mei 16, 2026 alipokuwa akikagua ujenzi wa Shule ya Ufundi ya Amali Kingale, Halmashauri ya Mji wa Kondoa mkoani Dodoma.
Waziri Mkuu amesema katika kipindi cha miaka minne hadi mitano, Serikali imejenga shule za amali 103 nchini kote ambapo shule 29 kati ya hizo ni za uhandisi, hatua ambayo amesema ni mapinduzi makubwa katika sekta ya elimu ya ufundi nchini.
“Tangu uhuru tulikuwa na shule tano tu za ufundi, lakini Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan katika miaka yake minne hadi mitano amejenga shule 103 za amali, ishirini na tisa zikiwa za uhandisi. Hili ni jambo kubwa sana,” amesema.
Aidha, Waziri Mkuu amesema Serikali iliamua kujenga shule hizo kwa nchi nzima kwa wakati mmoja ili kila mkoa unufaike na fursa hiyo ya elimu ya ufundi.
“Alisema kila mkoa upate awamu ya kwanza na watoto waanze kusoma, na baada ya hapo itakuja awamu ya pili ya kumalizia,” amesema.
Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amesema Serikali imeendelea kuajiri walimu wa sekta za elimu na afya ambapo ndani ya siku 100 pekee walimu 7,000 waliajiriwa wengi wao wakiwa wa masomo ya sayansi.
Pia, Waziri Mkuu amewahimiza wanafunzi kusoma kwa bidii ili waweze kunufaika na mpango wa Samia Scholarship unaowawezesha wanafunzi wanaofanya vizuri kupata ufadhili wa masomo ndani na nje ya nchi.
“Ukifanya vizuri sana unapewa Samia Scholarship, huo sio mkopo unapewa fedha ya ufadhili wa kusoma na unachagua chuo chochote duniani,” amesema.

Waziri mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendelea kuwekeza kwa kiwango kikubwa katika sekta ya elimu kupitia ujenzi wa shule za amali na ufundi nchini kote ili kuwawezesha vijana kupata elimu yenye ujuzi na kujitegemea.
Amesema hayo leo Jumamosi, Mei 16, 2026 alipokuwa akikagua ujenzi wa Shule ya Ufundi ya Amali Kingale, Halmashauri ya Mji wa Kondoa mkoani Dodoma.
Waziri Mkuu amesema katika kipindi cha miaka minne hadi mitano, Serikali imejenga shule za amali 103 nchini kote ambapo shule 29 kati ya hizo ni za uhandisi, hatua ambayo amesema ni mapinduzi makubwa katika sekta ya elimu ya ufundi nchini.
“Tangu uhuru tulikuwa na shule tano tu za ufundi, lakini Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan katika miaka yake minne hadi mitano amejenga shule 103 za amali, ishirini na tisa zikiwa za uhandisi. Hili ni jambo kubwa sana,” amesema.
Aidha, Waziri Mkuu amesema Serikali iliamua kujenga shule hizo kwa nchi nzima kwa wakati mmoja ili kila mkoa unufaike na fursa hiyo ya elimu ya ufundi.
“Alisema kila mkoa upate awamu ya kwanza na watoto waanze kusoma, na baada ya hapo itakuja awamu ya pili ya kumalizia,” amesema.
Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amesema Serikali imeendelea kuajiri walimu wa sekta za elimu na afya ambapo ndani ya siku 100 pekee walimu 7,000 waliajiriwa wengi wao wakiwa wa masomo ya sayansi.
Pia, Waziri Mkuu amewahimiza wanafunzi kusoma kwa bidii ili waweze kunufaika na mpango wa Samia Scholarship unaowawezesha wanafunzi wanaofanya vizuri kupata ufadhili wa masomo ndani na nje ya nchi.
“Ukifanya vizuri sana unapewa Samia Scholarship, huo sio mkopo unapewa fedha ya ufadhili wa kusoma na unachagua chuo chochote duniani,” amesema.

Waziri mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendelea kuwekeza kwa kiwango kikubwa katika sekta ya elimu kupitia ujenzi wa shule za amali na ufundi nchini kote ili kuwawezesha vijana kupata elimu yenye ujuzi na kujitegemea.
Amesema hayo leo Jumamosi, Mei 16, 2026 alipokuwa akikagua ujenzi wa Shule ya Ufundi ya Amali Kingale, Halmashauri ya Mji wa Kondoa mkoani Dodoma.
Waziri Mkuu amesema katika kipindi cha miaka minne hadi mitano, Serikali imejenga shule za amali 103 nchini kote ambapo shule 29 kati ya hizo ni za uhandisi, hatua ambayo amesema ni mapinduzi makubwa katika sekta ya elimu ya ufundi nchini.
“Tangu uhuru tulikuwa na shule tano tu za ufundi, lakini Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan katika miaka yake minne hadi mitano amejenga shule 103 za amali, ishirini na tisa zikiwa za uhandisi. Hili ni jambo kubwa sana,” amesema.
Aidha, Waziri Mkuu amesema Serikali iliamua kujenga shule hizo kwa nchi nzima kwa wakati mmoja ili kila mkoa unufaike na fursa hiyo ya elimu ya ufundi.
“Alisema kila mkoa upate awamu ya kwanza na watoto waanze kusoma, na baada ya hapo itakuja awamu ya pili ya kumalizia,” amesema.
Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amesema Serikali imeendelea kuajiri walimu wa sekta za elimu na afya ambapo ndani ya siku 100 pekee walimu 7,000 waliajiriwa wengi wao wakiwa wa masomo ya sayansi.
Pia, Waziri Mkuu amewahimiza wanafunzi kusoma kwa bidii ili waweze kunufaika na mpango wa Samia Scholarship unaowawezesha wanafunzi wanaofanya vizuri kupata ufadhili wa masomo ndani na nje ya nchi.
“Ukifanya vizuri sana unapewa Samia Scholarship, huo sio mkopo unapewa fedha ya ufadhili wa kusoma na unachagua chuo chochote duniani,” amesema.

Waziri mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendelea kuwekeza kwa kiwango kikubwa katika sekta ya elimu kupitia ujenzi wa shule za amali na ufundi nchini kote ili kuwawezesha vijana kupata elimu yenye ujuzi na kujitegemea.
Amesema hayo leo Jumamosi, Mei 16, 2026 alipokuwa akikagua ujenzi wa Shule ya Ufundi ya Amali Kingale, Halmashauri ya Mji wa Kondoa mkoani Dodoma.
Waziri Mkuu amesema katika kipindi cha miaka minne hadi mitano, Serikali imejenga shule za amali 103 nchini kote ambapo shule 29 kati ya hizo ni za uhandisi, hatua ambayo amesema ni mapinduzi makubwa katika sekta ya elimu ya ufundi nchini.
“Tangu uhuru tulikuwa na shule tano tu za ufundi, lakini Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan katika miaka yake minne hadi mitano amejenga shule 103 za amali, ishirini na tisa zikiwa za uhandisi. Hili ni jambo kubwa sana,” amesema.
Aidha, Waziri Mkuu amesema Serikali iliamua kujenga shule hizo kwa nchi nzima kwa wakati mmoja ili kila mkoa unufaike na fursa hiyo ya elimu ya ufundi.
“Alisema kila mkoa upate awamu ya kwanza na watoto waanze kusoma, na baada ya hapo itakuja awamu ya pili ya kumalizia,” amesema.
Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amesema Serikali imeendelea kuajiri walimu wa sekta za elimu na afya ambapo ndani ya siku 100 pekee walimu 7,000 waliajiriwa wengi wao wakiwa wa masomo ya sayansi.
Pia, Waziri Mkuu amewahimiza wanafunzi kusoma kwa bidii ili waweze kunufaika na mpango wa Samia Scholarship unaowawezesha wanafunzi wanaofanya vizuri kupata ufadhili wa masomo ndani na nje ya nchi.
“Ukifanya vizuri sana unapewa Samia Scholarship, huo sio mkopo unapewa fedha ya ufadhili wa kusoma na unachagua chuo chochote duniani,” amesema.

Waziri mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendelea kuwekeza kwa kiwango kikubwa katika sekta ya elimu kupitia ujenzi wa shule za amali na ufundi nchini kote ili kuwawezesha vijana kupata elimu yenye ujuzi na kujitegemea.
Amesema hayo leo Jumamosi, Mei 16, 2026 alipokuwa akikagua ujenzi wa Shule ya Ufundi ya Amali Kingale, Halmashauri ya Mji wa Kondoa mkoani Dodoma.
Waziri Mkuu amesema katika kipindi cha miaka minne hadi mitano, Serikali imejenga shule za amali 103 nchini kote ambapo shule 29 kati ya hizo ni za uhandisi, hatua ambayo amesema ni mapinduzi makubwa katika sekta ya elimu ya ufundi nchini.
“Tangu uhuru tulikuwa na shule tano tu za ufundi, lakini Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan katika miaka yake minne hadi mitano amejenga shule 103 za amali, ishirini na tisa zikiwa za uhandisi. Hili ni jambo kubwa sana,” amesema.
Aidha, Waziri Mkuu amesema Serikali iliamua kujenga shule hizo kwa nchi nzima kwa wakati mmoja ili kila mkoa unufaike na fursa hiyo ya elimu ya ufundi.
“Alisema kila mkoa upate awamu ya kwanza na watoto waanze kusoma, na baada ya hapo itakuja awamu ya pili ya kumalizia,” amesema.
Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amesema Serikali imeendelea kuajiri walimu wa sekta za elimu na afya ambapo ndani ya siku 100 pekee walimu 7,000 waliajiriwa wengi wao wakiwa wa masomo ya sayansi.
Pia, Waziri Mkuu amewahimiza wanafunzi kusoma kwa bidii ili waweze kunufaika na mpango wa Samia Scholarship unaowawezesha wanafunzi wanaofanya vizuri kupata ufadhili wa masomo ndani na nje ya nchi.
“Ukifanya vizuri sana unapewa Samia Scholarship, huo sio mkopo unapewa fedha ya ufadhili wa kusoma na unachagua chuo chochote duniani,” amesema.

Waziri mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendelea kuwekeza kwa kiwango kikubwa katika sekta ya elimu kupitia ujenzi wa shule za amali na ufundi nchini kote ili kuwawezesha vijana kupata elimu yenye ujuzi na kujitegemea.
Amesema hayo leo Jumamosi, Mei 16, 2026 alipokuwa akikagua ujenzi wa Shule ya Ufundi ya Amali Kingale, Halmashauri ya Mji wa Kondoa mkoani Dodoma.
Waziri Mkuu amesema katika kipindi cha miaka minne hadi mitano, Serikali imejenga shule za amali 103 nchini kote ambapo shule 29 kati ya hizo ni za uhandisi, hatua ambayo amesema ni mapinduzi makubwa katika sekta ya elimu ya ufundi nchini.
“Tangu uhuru tulikuwa na shule tano tu za ufundi, lakini Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan katika miaka yake minne hadi mitano amejenga shule 103 za amali, ishirini na tisa zikiwa za uhandisi. Hili ni jambo kubwa sana,” amesema.
Aidha, Waziri Mkuu amesema Serikali iliamua kujenga shule hizo kwa nchi nzima kwa wakati mmoja ili kila mkoa unufaike na fursa hiyo ya elimu ya ufundi.
“Alisema kila mkoa upate awamu ya kwanza na watoto waanze kusoma, na baada ya hapo itakuja awamu ya pili ya kumalizia,” amesema.
Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amesema Serikali imeendelea kuajiri walimu wa sekta za elimu na afya ambapo ndani ya siku 100 pekee walimu 7,000 waliajiriwa wengi wao wakiwa wa masomo ya sayansi.
Pia, Waziri Mkuu amewahimiza wanafunzi kusoma kwa bidii ili waweze kunufaika na mpango wa Samia Scholarship unaowawezesha wanafunzi wanaofanya vizuri kupata ufadhili wa masomo ndani na nje ya nchi.
“Ukifanya vizuri sana unapewa Samia Scholarship, huo sio mkopo unapewa fedha ya ufadhili wa kusoma na unachagua chuo chochote duniani,” amesema.

DILI NI AMANI
Katika dunia ya sasa inayokumbwa na changamoto za migogoro, ubaguzi, chuki na misuguano ya kijamii na kisiasa katika maeneo mbalimbali, ujumbe wa siku ya kimataifa ya Kuishi pamoja kwa amani inazidi kuwa muhimu zaidi kwa jamii zote, ikiwemo nchi zinazoendelea na zilizoendelea, katika kuimarisha mshikamano wa binadamu wote.
Siku hii huja kama wito kwa jamii kutafakari namna zinavyoishi pamoja, kujenga maelewano, na kupunguza tofauti zinazoweza kusababisha migogoro, huku zikihamasishwa kuwekeza zaidi katika mazungumzo, uvumilivu na kuheshimiana.
Katika maadhimisho haya, MWAJABU SHAFII na NURA MOHAMED wanakuletea muktadha maalum unaochambua umuhimu wa “Kuishi Pamoja kwa Amani”, wakiangazia thamani ya amani katika maisha ya kila siku, nafasi ya jamii katika kujenga mshikamano, pamoja na mchango wa kila mtu katika kuleta dunia yenye upendo na maelewano.
Huu ni ujumbe unaotukumbusha kwamba tofauti zetu si sababu ya kutugawa, bali ni nguvu ya kujenga dunia yenye amani, ushirikiano na maendeleo endelevu kwa vizazi vya sasa na vijavyo.
🕐 Saa 1:00 jioni
@CloudsTv
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge,Uratibu na Wenye Ulemavu, Profesa Palamagamba Kabudi amesema Tanzania imefanikiwa kuwa Taifa katika miongo sita na si mkusanyiko.
Profesa Kabudi amesema hayo leo , Jumamosi Mei 16,2926katika kongamano la wanafunzi wa vyuo lenye kauli mbiu 'never again' tuipende, tuitunze , tuilindenchi yetu' lililofanyika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam na kuandaliwa na TAHLISO mkoani hapa.
Mbali na hilo mnadhimu huyo wa Bunge, amesema Tanzania ni nchi ya kijamaa isiyokuwa na dini inayofuata misingi ya demokrasia kwa mujibu wa Katiba.
Kwa mujibu wa Profesa Kabudi, Tanzania ni Taifa lenye umoja na mshikamano ambapo wananchi wake wapo katikamakabila takribani 120 na wana dini mbalimbali wakiishi kwa utulivu.
Amesema katika Bara la Afrika Tanzania ndio nchi yenye mtengamano mkubwa wa kidini, ndio maana Katiba inasema Tanzania ni nchi ya kidemokrasia isiyo na dini, lakini watu wake wana dini.
“Tunaposema never again ni mtu asitake kuturudisha tena huko. Tanzania bila ubishi wowote ni Taifa ambalo limekuwa tayari kujitoa mhanga kutumia kile kidogo ilichokuwa nacho kuwakomboa wote waliokuwa wanaonewa na wasiokombolewa,” amesema na kuongeza kuwa:
"Haya hayatuyaoni kwa sababu tumefanikiwa kuundaTaifa na si mkusanyiko wa makabila," amesema Profesa Kabudi.
Msanii wa Hip Hop @pmawenge anasema muziki wa #HipHop haujawahi kuondoka ila wasanii wa Hip Hip ndo huwa wanaondoka na kuukuta.
Hivyo hivyo Clouds tunakwambia @mchongopesatz haijawahi kuondoka ipo kila siku na fedha pamoja na zawadi zinatoka kila kukicha.
Kama kawaida Jackpot zinaendelea kufanyika fanya maamuzi sahihi upate matokeo ya ushindi ambayo ni endelevu…
Tuma buku lako kwenda namba 321333, kumbukumbu ni neno Pesa.
#MeiMilioneaNaMchongopesa

Leo#Cloudsmediagroup tunamsherehekea Malkia mwenye maono aliyethubutu na kuamini sauti za wanawake zina nafasi ya kusikika duniani. Mwanamke aliyebeba ndoto, akaigeuza kuwa nyumba ya maelfu ya wanawake kupata nafasi, kusikika na kuamini katika thamani iliyopo ndani yao kupitia #MalkiaChoiceFM.
Kwetu CMG wewe ni Mkurugenzi Mtendaji, Kiongozi mahiri, lakini kwa wengine wengi zaidi, Wewe ni Mwanga, Nafasi, Motisha, na Sababu ya wanawake wengi kusimama tena kwa kujiamini. Asante kwa kuwa sauti ya wanawake. Asante kwa kujenga familia ya Malkia kwa upendo, maono na moyo wa kipekee.
Asante Kukoleza Levels kwa Alama hii ya Kipekee (@malkiachoicefm ) itakayodumu vizazi na Vizazi. Happy Birthday Mkurugenzi Mtendaji, Malkia Choice Fm, Malkia wa Nguvu, Juhayna Ajmy Kusaga (@ajmy_inna)#Nyoosha2026
The Instagram Story Viewer is an easy tool that lets you secretly watch and save Instagram stories, videos, photos, or IGTV. With this service, you can download content and enjoy it offline whenever you like. If you find something interesting on Instagram that you’d like to check out later or want to view stories while staying anonymous, our Viewer is perfect for you. Anonstories offers an excellent solution for keeping your identity hidden. Instagram first launched the Stories feature in August 2023, which was quickly adopted by other platforms due to its engaging, time-sensitive format. Stories let users share quick updates, whether photos, videos, or selfies, enhanced with text, emojis, or filters, and are visible for only 24 hours. This limited time frame creates high engagement compared to regular posts. In today’s world, Stories are one of the most popular ways to connect and communicate on social media. However, when you view a Story, the creator can see your name in their viewer list, which may be a privacy concern. What if you wish to browse Stories without being noticed? Here’s where Anonstories becomes useful. It allows you to watch public Instagram content without revealing your identity. Simply enter the username of the profile you’re curious about, and the tool will display their latest Stories. Features of Anonstories Viewer: - Anonymous Browsing: Watch Stories without showing up on the viewer list. - No Account Needed: View public content without signing up for an Instagram account. - Content Download: Save any Stories content directly to your device for offline use. - View Highlights: Access Instagram Highlights, even beyond the 24-hour window. - Repost Monitoring: Track the reposts or engagement levels on Stories for personal profiles. Limitations: - This tool works only with public accounts; private accounts remain inaccessible. Benefits: - Privacy-Friendly: Watch any Instagram content without being noticed. - Simple and Easy: No app installation or registration required. - Exclusive Tools: Download and manage content in ways Instagram doesn’t offer.
Keep track of Instagram updates discreetly while protecting your privacy and staying anonymous.
View profiles and photos anonymously with ease using the Private Profile Viewer.
This free tool allows you to view Instagram Stories anonymously, ensuring your activity remains hidden from the story uploader.
Anonstories lets users view Instagram stories without alerting the creator.
Works seamlessly on iOS, Android, Windows, macOS, and modern browsers like Chrome and Safari.
Prioritizes secure, anonymous browsing without requiring login credentials.
Users can view public stories by simply entering a username—no account needed.
Downloads photos (JPEG) and videos (MP4) with ease.
The service is free to use.
Content from private accounts can only be accessed by followers.
Files are for personal or educational use only and must comply with copyright rules.
Enter a public username to view or download stories. The service generates direct links for saving content locally.